HATIMAYE MGANGA WA VERA SIDIKA ATUA TANZANIA


Mtaalam bingwa na mashuhuri Afrika Mashariki na kati PROFESA MAJI YA TANGA au unaweza kumuita KIBOKO YA WACHAWI NA MAJINI ametua nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake kubwa katika nchini za ukanda wa Afrika Mashariki.

Mjasiriamali Vera Sidika akiwa katika moja ya magari yake ya kifahari anayomiliki

Akichezesha taya zake na blogu ya ASILI ZETU, Profesa MAJI YA TANGA ameeleza mafanikio makubwa aliyoyapata hasa baada ya kupata mialiko mingi ya watu mashuhuri na viongozi wa kiserikali.

“Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu, pia nitoea shukrani zangu za dhati kwa mmoja wa wateja zangu au naweza kumuita dada yangu kutoka Kenya ‘Vera Sidika’ kwa ukarimu wa hali ya juu alionionyesha”, alisema MAJI YA TANGA

Na kuongeza : “Licha ya kuwa miongoni mwa wateja wangu wakubwa na wa muda mrefu tangu kabla ya kuwa maarufu, sema nitakuwa mchoyo wa fadhila endapo nisipomshukuru”.

Vera Sidika akiwa katika saluni yake ya kisasa aliyoifungua hivi karibuni jijini Nairobi nchini Kenya

Aidha MAJI YA TANGA ameeleza kwamba fadhila zote alizofanyiwa na mjasiriamali Vera Sidika ni kutokana na huduma zake nzuri alizomfanyia mpaka kuweza kumiliki magari na majumba  ya kifahari, saluni kubwa ya kisasa na safari za biashara za nje kila kukicha.

Pia dawa zake za asili za kukuza na kunenepesha makalio na kuondoa nyama uzembe zimeweza kumsaidia mwanadada Vera kuwa na muonekano wa kuwatoa wanaume wengi udenda, hali inayopelekea kupata usumbufu mkubwa.

Huduma za Prof. MAJI YA TANGA hutolewa bure, malipo ni baada ya mafanikio, kwa wale wenye kuhitaji mawasiliano ya simu yake ya kigangani anapatikana kwa namba 1 tu ambayo ni +255 789 419 557. ANGALIZO: Wapo watu wanaotumia jina lake, hivyo anawapa tahadhari.

Vera Sidika akiwa kwenye matembezi yake Roma, Italy
Vera Sidika akiwa nchini Marekani katika shughuli zake za kibiashara

Moja ya sehemu ya Saluni anayomiliki Mwanadada Vera Sidika
Vera Sidika akiwa katika moja ya shopping zake katika maduka makubwa barani Ulaya
Pichani ni Mjengo na gari ya kifahari anayomiliki Vera Sidika
Pichani ni Vera Sidika akiwa katika boti yake ya kifahari akila raha za Dunia
Vera Sidika akiwa mapumzikoni katika visiwa vya Meldives


Leave a comment