Mtaalam bingwa na mashuhuri Afrika Mashariki na kati PROFESA MAJI YA TANGA au unaweza kumuita KIBOKO YA WACHAWI NA MAJINI ametua nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake kubwa katika nchini za ukanda wa Afrika Mashariki.
Akichezesha taya zake na blogu ya ASILI ZETU, Profesa MAJI YA TANGA ameeleza mafanikio makubwa aliyoyapata hasa baada ya kupata mialiko mingi ya watu mashuhuri na viongozi wa kiserikali.
“Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu, pia nitoea shukrani zangu za dhati kwa mmoja wa wateja zangu au naweza kumuita dada yangu kutoka Kenya ‘Vera Sidika’ kwa ukarimu wa hali ya juu alionionyesha”, alisema MAJI YA TANGA
Na kuongeza : “Licha ya kuwa miongoni mwa wateja wangu wakubwa na wa muda mrefu tangu kabla ya kuwa maarufu, sema nitakuwa mchoyo wa fadhila endapo nisipomshukuru”.
Aidha MAJI YA TANGA ameeleza kwamba fadhila zote alizofanyiwa na mjasiriamali Vera Sidika ni kutokana na huduma zake nzuri alizomfanyia mpaka kuweza kumiliki magari na majumba ya kifahari, saluni kubwa ya kisasa na safari za biashara za nje kila kukicha.
Pia dawa zake za asili za kukuza na kunenepesha makalio na kuondoa nyama uzembe zimeweza kumsaidia mwanadada Vera kuwa na muonekano wa kuwatoa wanaume wengi udenda, hali inayopelekea kupata usumbufu mkubwa.
Huduma za Prof. MAJI YA TANGA hutolewa bure, malipo ni baada ya mafanikio, kwa wale wenye kuhitaji mawasiliano ya simu yake ya kigangani anapatikana kwa namba 1 tu ambayo ni +255 789 419 557. ANGALIZO: Wapo watu wanaotumia jina lake, hivyo anawapa tahadhari.